1932
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| ►
◄◄ |
◄ |
1928 |
1929 |
1930 |
1931 |
1932
| 1933
| 1934
| 1935
| 1936
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1932 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 6 Februari - Simeon Nyachae, mwanasiasa kutoka Kenya
- 26 Februari - Johnny Cash, mwanamuziki kutoka Marekani
- 4 Machi - Miriam Makeba, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 18 Machi - John Updike, mwandishi kutoka Marekani
- 31 Machi - Walter Gilbert, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1980
- 26 Aprili - Michael Smith, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1993
- 11 Juni - Athol Fugard, mwandishi wa Afrika Kusini
- 18 Juni - Dudley Herschbach, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1986
- 2 Agosti - Peter O'Toole, mwigizaji wa filamu kutoka Eire
- 17 Agosti - Vidiadhar Naipaul, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 2001
- 17 Agosti - Abebe Bikila, mwanariadha Mhabeshi)
- 18 Agosti - Luc Montagnier, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2008
- 24 Oktoba - Pierre de Gennes, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1991
- 27 Oktoba - Sylvia Plath, mshairi wa Marekani
- 2 Novemba - Melvin Schwartz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1988
- 5 Desemba - Sheldon Glashow, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 16 Februari - Ferdinand Buisson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1927
- 2 Machi - Mtakatifu Anjela wa Msalaba, bikira kutoka Hispania
- 7 Machi - Aristide Briand (Waziri Mkuu wa Ufaransa na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926
- 14 Machi - Frederick Jackson Turner, mwanahistoria kutoka Marekani
- 4 Aprili - Wilhelm Ostwald, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1909
- 15 Julai - Cornelis Langenhoven, mwandishi wa Afrika Kusini
- 18 Julai - Jean Jules Jusserand, mwanasiasa kutoka Ufaransa
- 16 Septemba - Sir Ronald Ross, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1902
- 6 Novemba - Émile Friant, mchoraji kutoka Ufaransa
